Tuesday, September 13, 2011

Villa squad 0 Azam fc 2


Villa 0 Azam 2

Villa Squad wameshindwa kubeba point tatu mbele ya Azam, baada ya kukubari  kufungwa magoli mawili kwa bila. katika mchezo uliomalizika jioni ya Leo Sep 13, 2011, huko Chamazi. 
Kwa matokeo hayo Azam anakuwa na point 8 huku Villa akibakiwa na 5 zake.
.
TimuPtsPWDLGFGAGD
Azam FC85221413
Villa Squad5511337-4

....habari hizi ni kwa msaada wa mtandao wa www.Kandanda.galacha.com/ asante

0 comments:

Post a Comment